ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

Thursday, December 24, 2015

BAJAJ AUTO COMPANY WAKISHIRIKIANA NA JEMBE FM WAMWAGA ZAWADI ZA SIKUKUU KWA BODABODA MWANZA

Zawadi ya flat screen TV kwa dereva wa bodaboda Mwanza katika Onyesho la Boxer BM 100 shughuli iliyoruka LIVE kupiti aJembe Fm toka viwanja vya Magomeni Kirumba.
Mafundi wa Bajaji Auto Company wakitoa service ya bure kwa madereva wa bodaboda Mwanza katika Onyesho la Boxer BM 100 viwanja vya Magomeni Kirumba.
Mara baada ya service....Sasa tayari kwa huduma.....
Mamia ya madereva walifika viwanjani hapa na pikipiki zao kupigwa service.
Service zikiendelea ...
Safiiiii....
Watangazaji wa Jembe Fm 93.7 wakifanya mazungumzo na baadhi ya madereva wa bodaboda Mwanza.
OB Van ya 93.7
Magomeni Kirumba.
Red Carpet ya Bajaj Auto Service ilikuwa hivi.
Bodaboda...
Ni mara chache sana kushuhudia wafanyabiashara wa usafiri huu wa bodaboda wakifanya ukaguzi kwa vyombo vyao vya usafiri lakini kupitia Bajaj Auto Company wameamua kuwaanzishia utaratibu huu ili iwe jadi kwa madereva hao.
Kazi inaendelea...
Ze vyomboz vya usafiri.
Mtangazaji wa Jembe Fm Bonz Akihusika kwa hewa 93.7
Pia kulikuwa na mauzo ya pikipiki aina ya Boxer ambapo licha ya majaribio kwa vyombo hivyo vya usafiri pia madereva wapya walipewa mafunzo ya udereva kwa vitendo viwanjani hapo.
Wadau wa Bajaj Auto Company wakijadiliana kuhusu huduma wanazozitoa.
Mtangazaji wa Jembe Fm Jacline Shuma akifanya mahojiano na Mkurugenzi wa Bajaj Auto Company Tawi la Mwanza.
Spare na Vipuli vilikuwepo eneo la huduma.
Uandikishaji pamoja na mauzo.
Hapa kazi tu!!.
Kazi kazini....na KAZI NA NGOMA.

Tupe maoni yako

0 comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.