ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

Thursday, November 19, 2015

WAZIRI MKUU SERIKALI YA HAPA KAZI TU NI MAJALIWA KASSIM MAJALIWA.

Mh Kassim Majaliwa Ateuliwa Kuwa Waziri Mkuu.

Kitendawili cha Rais Magufuli hatimaye chateguliwa, amteua Mh.Kassim Majaliwa kuwa Waziri Mkuu wa Tanzania. BOFYA VIDEO KUSIKIA KILICHOJIRI HAPA BUNGENI DODOMA LEO.
Mbunge wa Jimbo la Sumve Mhe. Richard Ndassa akizungumza na Mwakilishi wa Jembe Fm 93.7 Albert G. Sengo pamoja na mwanahabari James George wa Star Tv kutoka katika viwanja vya Bunge mjini Dodoma.
Waheshimiwa wabunge wakitete na mdau wa Habari mkongwe ambaye pia ni Blogger maarufu Afrika Issa Michuzi wa Michuzi Jr. 
Waheshimiwa wakiteta.

Tupe maoni yako

0 comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.