ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

Saturday, August 8, 2015

JANET MBENE AKABIDHI VITANDA VYA KUJIFUNGULIA VYA THAMANI YA MILIONI 30 ILEJE.

Naibu Waziri wa Viwanda na Biashara Janet Mbene akimkabidhi Vitanda vya Kujifungulia Katibu wa CCMwilaya ya Ileje kwa ajili ya Hospitali za wilaya hiyo.
Mafundi wa Hospital wakiunganisha kitanda cha kujifunguliwa kilicholetwa na Mh Janet Mben kwa ajili  ya hospitalai za ieleje.
Naibu Waziri wa Viwanda na Biashara Janet Mbene,akionyesha baadhi ya vifaa vinavyotumika katika hospital ambavyo avimetolewa na Karemjee Foundation kwa ajili ya Hospital ya Ileje.
Mganga mkuu wa Wilaya ya ilje akiangalaia sehemu ya msaada wa vitanda uliotolewa na Janet Mbene.

Tupe maoni yako

0 comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.