ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

Saturday, July 18, 2015

MAPOKEZI YA MAGUFULI YAVUNJA REKODI YA CCM MWANZA.

Dkt John Pombe Magufuli akiwasili jijini Mwanza na makaribisho ya wana CCM wakiongonzwa na Mwenyekiti wa mkoa Anthony Dialo (kushoto mwenye mbele mwenye shati la kijani)
Msafara ukitoka Airport Mwanza.
Watoa huduma, wafanyabiashara na abiria walio kwenye uwanja wa ndege Mwanza wakipunga mikono kwa msafara wa mteule wa CCM Dkt John Pombe Magufuli
Baadhi ya Wananchi wakilikimbiza gari la  Mgombea Uraisi CCM,Mh.Dkt John Pombe Magufuli kwa shangwe kama waonekanavyo pichani ,wakati Magufuli lipokuwa akiwasili jijini Mwanza kwa ajili ya kujitambulisha kwa wanachama wa chama hicho pamoja na Wananchi kwa ujumla jioni ya leo.
Msafara.
Msafara wa mapokezi Mwanza.
Msafara wa mapokezi Mwanza.
Msafara na shangwe za hapa na pale toka kwa wananchi.
Barabara ya Airport - Makongoro jijini Mwanza.
Msafara wa mapokezi Mwanza.
Msafara wa mapokezi Mwanza.
Msafara wa mapokezi Mwanza.








Mhe.Jonh Mombe Mgufuli, alisimama sehemu mbalimbali nakuongea na wananchi alisema hakuja kufanya kampeni bali  amekuja kwaajili ya utambulisho tu na sio vingine, aidha mgombea huyo amesema wakati ukifika watanzania wote wajitokeze kupigakura na kuchagua Chama cha mapinduzi CCM, kuanzia nafasi ya Rais, Wabunge na Madiwani. Magufuli amewashukuru wanachama wa CCM na wananchi wa jiji la Mwanza kwakujitokeza kwa wingi kumpokea yeye na mke wake akiongeza neno moja "Watanzania Mniombe"
 Baadhi ya Wananchi wa jiji la Mwanza wakiwa wamefunga barabara kwa muda wakishangilia ujio wa  Mgombea Uraisi wa CCM,Mh.Dkt John Pombe Magufuli alipokuwa akiwasili jijini Mwanza kwa ajili ya kujitambulisha kwa wanachama wa chama hicho pamoja na Wananchi kwa ujumla jioni ya leo.
kuna wengine waliacha kazi kwa muda kama hizi na kuja kwenda kushangilia ujio wa Mh.Dkt John Magufuli.

Mgombea Uraisi kwa tiketi ya chama cha Mapinduzi (CCM),Mh.Dkt John Pombe Magufuli akiwasalimia wananchi alipokuwa akiwasili jijini Mwanza jioni ya leo akiwa ameambatana na baadhi ya viongozi wa juu wa chama cha CCM,Magufuli yuko jijini Mwanza kujitambulisha kwa Wananchi.
Amsha amsha.
 Wananchi wa jiji la Mwanza waliojitokeza kwa wingi mbele ya jengo la CCM Mkoa kwaajili ya kumpokea Dkt John Pombe Magufuli .
Dkt John Pombe Magufuli akiwasili katika viwanja vya jengo la CCM Mkoa wa Mwanza.
Mke wa Mgombea Uraisi kwa tiketi ya chama cha Mapinduzi Dkt.John Pombe Magufuli,Mama Janeth Magufuli akiwasalimia Wakazi wa jiji la Mwanza na vitongoji vyake waliojiotokeza kwa wingi kuwapokea,Pichani kulia ni Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi Nape Nnauye.
Shangwe za wananchi.
Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi Nape Nnauye akizungumza machache kabla ya kumkaribisha Mgombea Uraisi kwa tiketi ya chama cha Mapinduzi (CCM),Mh.Dkt John Pombe Magufuli kujitambulisha kwa wanachama wa chama hicho pamoja na Wananchi wa jiji la Mwanza na vitongoji vyake,nje ya ofisi za CCM mkoa wa Mwanza.
Mgombea Uraisi kwa tiketi ya chama cha Mapinduzi (CCM),Mh.Dkt John Pombe Magufuli akiwasalimia wanachama wa chama hicho pamoja na Wananchi wa jiji la Mwanza na vitongoji vyake,nje ya ofisi za CCM mkoa,ambao walijotokeza kumlaki kwa shange na furaha kubwa.Dkt Magufuli amewasili jana jijini Mwanza akitokea jijini Dar kwa ajili ya kujitambulisha kwa wanachama wa chama hicho pamoja na wananchi kwa ujumla.
Mgombea Uraisi kwa tiketi ya chama cha Mapinduzi (CCM),Mh.Dkt John Pombe Magufuli akiwasalimia wanachama wa chama hicho pamoja na Wananchi wa jiji la Mwanza na vitongoji vyake,nje ya ofisi za CCM mkoa,ambao walijotokeza kumlaki kwa shange na furaha kubwa.Dkt Magufuli amewasili jana jijini Mwanza akitokea jijini Dar kwa ajili ya kujitambulisha kwa wanachama wa chama hicho pamoja na wananchi kwa ujumla.
Dkt John Pombe Magufuli akiwasalimia Wananchi wa jiji la Mwanza waliojitokeza kwa wingi jioni ya jana.
Dkt John Pombe Magufuli akisalimiana na kada wa CCM mara baada ya kusalimiana na MNEC wa Tarime Mzee Gachuma.
Dkt John Pombe Magufuli akiweka saini katika kitabu cha wageni kwenye ofisi ya CCM Mkoa wa Mwanza, Wengine katika picha ni Mwenyekiti wa CCM Mkoa wa Mwanza Anthony Diallo, Katibu wa CCM Mkoa Miraji Mtaturu na Mbunge wa Jimbo la Titus Kamani.
PICHA ZOTE NA ZEPHANIA MANDIA WA GSENGO BLOG.

Tupe maoni yako

0 comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.