ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

Saturday, July 18, 2015

MAKAMU WA RAIS DKT. BILAL AJUMUIKA NA WAUMINI WA DINI YA KIISLAMU KATIKA SWALA YA EID EL FITRI KITAIFA MKOANI GEITA.

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal akiwahutubia waumini wa dini ya Kisslamu wakati wa swala ya Sikukuu ya Eid El-Fitri iliyofanyika Kitaifa kwenye Uwanja wa Shule ya Msingi Kalangalala, katika Halmashauri ya Mji wa Geita, leo Julai 18, 2015. Picha na OMR
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal akiwahutubia waumini wa dini ya Kisslamu wakati wa swala ya Sikukuu ya Eid El-Fitri iliyofanyika Kitaifa kwenye Uwanja wa Shule ya Msingi Kalangalala, katika Halmashauri ya Mji wa Geita, leo Julai 18, 2015. Picha na OMR
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akijumuika na Baadhi ya Viongozi wa Baraza Kuu la Waislamu Tanzania, (BAKWATA) na wananchi katika swala ya Sikukuu ya Eid El-Fitri iliyofanyika Kitaifa kwenye Uwanja wa Shule ya Msingi  Kalangalala, katika Halmashauri ya Mji wa Geita, leo Julai 18, 2015. Picha na OMR
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akiagana na Kaimu Mufti Mkuu wa Tanzania, Abubakar Zubeir Ally, baada ya kumalizika kwa swala ya Sikukuu ya Eid El-Fitri kwenye Uwanja wa Shule ya Msingi, Kalangalala, mkoani Geita, leo Julai 18, 2015. Picha na OMR
baadhi ya Waumini wa dini ya Kiislamu waliohudhuria Swala hiyo ya Sikukuu ya Eid El-Fitri Kitaifa Mkoani Geita leo Julai 18, 2015. Picha na OMR
baadhi ya Waumini wa dini ya Kiislamu waliohudhuria Swala hiyo ya Sikukuu ya Eid El-Fitri Kitaifa Mkoani Geita leo Julai 18, 2015. Picha na OMR
baadhi ya Waumini wa dini ya Kiislamu waliohudhuria Swala hiyo ya Sikukuu ya Eid El-Fitri Kitaifa Mkoani Geita leo Julai 18, 2015. Picha na OMR
baadhi ya Waumini wa dini ya Kiislamu waliohudhuria Swala hiyo ya Sikukuu ya Eid El-Fitri Kitaifa Mkoani Geita leo Julai 18, 2015. Picha na OMR
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akishiriki swala ya Sikukuu ya Eid El-Fitri na waumini wa Dini ya Kiislamu iliyofanyika Kitaifa wa Mkoani  Geita  leo Julai 18, 2015. Picha na OMR
Kaimu Mufti  Mkuu wa Tanzania, Sheikh, Abubakar Zubeir Ally, akitoa neno la shukrani baada ya swala hiyo ya kitaifa mkoani Geita. Picha na OMR
Maagano.
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akiwa katika picha ya pamoja na baadhi ya Masheikh kutoka mikoa mbalimbali walioalikwa kuhudhuria swala ya Sikukuu ya EidEl-Fitri baada ya swala hiyo iliyofanyika kwenye Uwanja wa Shule ya Msingi, Kalangalala, Mkoani Geita. Picha na OMR

Tupe maoni yako

0 comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.