ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

Thursday, April 16, 2015

NDESAMBURO ATANGAZA KUTOGOMBEA JIMBO LA MOSHI MJINI .AMUACHIA MIKOBA MEYA JAFARY MICHAEL

Katibu mwenezi wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) wilaya ya Moshi na Diwani wa Kata ya Kiusa ,Stephen Ngasa akizungumza katika mkutano huo wa hadhara. 
Baadhi ya wakazi wa mji wa Moshi wakifuatili mkutano wa hadhara wa Chadema uliofanyika katika eneo la soko la Manyema.
Mbunge wa jimbo la Moshi mjini Philemoni Ndesamburo akiwasili katika viwanja eneo la soko la Manyema akiwa ameongozana na Diwani wa kata ya Mji Mpya ,Abuu Shayo na Stephen Ngasa wa kata ya Kiusa.
Mkutano.
Mstahiki Meya ,Michael akiwa amekaa kando ya Mbunge ,Philemoni Ndesamburo . 
Na Dixon Busagaga wa Globu ya Jamii Kanda ya Kaskazini.
Ndesamburo akizungumza na wananchi wa Moshi mara baada ya kumtangaza mrithi wake katika jimbo la Moshi mjini. Mamia ya wananchi wakimsikiliza Ndesamburo.
Ndesamburo akizungumza na wananchi wa Moshi mara baada ya kumtangaza mrithi wake katika jimbo la Moshi mjini. Mamia ya wananchi wakimsikiliza Ndesamburo.
Mamia ya wananchi katika mji wa Moshi wakishangilia hotuba iliyokuwa ikitolewa na Msathiki Meya wa manispaa ya Moshi,Jafary Michael. Mbunge wa Jimbo la Moshi mjini Philemoni Ndesamburo akimtambulisha Mstahiki Meya wa Manispaa ya Moshi Jafary kuwa mrithi wake wa kiti cha ubunge katika jimbo hili wakati wa uchaguzi mkuu utakaofanyika mwezi oktoba.
Mmoja wa wafuasi wa Chadema akiwa amekaa chini akifuatilia mkutano huo. Mbunge wa Jimbo la Moshi mjini ,Philemoni Ndesamburo akiteta jambo na Mwenyekiti wa Halmashauri ya wilaya ya Hai,Clement Kwayu wakati wa mkutano wa hadhara. 
Mstahiki Meya a manispaa ya Moshi,Jafary Michael akihutubia mamia ya wananchi waliofika katika mkutano huo uliofanyika katika viwanja vilivyoko jirani na soko la Manyema .
Mmoja wa wafuasi wa Chadema akiwa amekaa chini akifuatilia mkutano huo. Mbunge wa Jimbo la Moshi mjini ,Philemoni Ndesamburo akiteta jambo na Mwenyekiti wa Halmashauri ya wilaya ya Hai,Clement Kwayu wakati wa mkutano wa hadhara.

Tupe maoni yako

0 comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.