ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

Friday, April 24, 2015

DROO UEFA:BARCELONA KUCHUANA NA BAYERN MUNICH

Klabu ya Barcelona Itakutana na mabingwa wa kombe la kilabu bingwa Ulaya Bayern Munchen katika nusu fainali ya kwanza ya kombe hilo.
Nusu fainali ya pili itazikutanisha timu za Real madrid dhidi ya Juventus ikiwa ni mkutano wa kwanza kati ya klabu hizo mbili tangu mwaka 2003.
Nusu fainali hizo zitachezwa tarehe tano na sita ya mwezi Mei huku mechi ya marudio ikichezwa wiki moja baadaye.
katika ligi ya Yuropa,mabingwa watetezi Seville kutoka Uhispania watakabiliana na Fiorentina huku Napoli wakikabiliana na Dnipro kutoka Ukraine.

Tupe maoni yako

0 comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.