ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

Friday, March 6, 2015

RAIS KIKWETE AZINDUA STUDIO MPYA ZA AZAM TV JIJINI DAR

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Jakaya Mrisho Kikwete akihutubia wakati wa uzinduzi wa Studio mpya za Azam Tv zilizoko Tabata jijini Dar es salaam.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Jakaya Mrisho Kikwete akihutubia wakati wa uzinduzi wa Studio mpya za Azam Tv zilizoko Tabata jijini Dar es salaam.
Mkurugenzi wa Azam Tv Said Salim Bakhresa.
Mazungumzo.
Waziri wa Habari Utamaduni na Michezo Dkt. Fenella Mukangara.
Naibu Mtendaji Mkuu wa Azam Media Limited, Tido Mhando.
Mhando mwenye uzoefu wa kuongoza Kampuni za vyombo vya habari zikiwemo idhaa ya Kiswahili BBC, Shirika la Utangazaji la Taifa (TBC) na Mwananchi Communications Limited (MCL) amesema kuwa studio hizo zina ubora kuliko nyingine zote nchini.

Jumla ya dola za Kimarekani milioni 31 (zaidi ya sh. Bilioni 56 za Tanzania) zimetumika kutengeneza studio mpya za kisasa za Azam Tv, zilizopo eneo la Tabata jijini Dar es salaam.
Mkurugenzi Mtendaji wa Azam Tv Rhys Torrington.
Mc wa uzinduzi ni Taji Liundi.
Jicho la kamera.
Mwanamuziki Barnaba akiburudisha.
Wageni waalikwa.
Eneo la tukio meza kuu na wageni waalikwa.
Sehemu ya studio mpya za Azam Tv zilizoko Tabata jijini Dar es salaam.

Tupe maoni yako

0 comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.