ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

Friday, March 13, 2015

MABOMU YARINDIMA SAA HII MWANZA INSHU NI ILE ILE POLISI NA MACHINGA

Vurugu zimezuka mida hii ya saa 5 asubuhi zikihusisha polisi na machinga wa mkoa wa Mwanza suala ni lile lile, polisi wakijaribu kuwaondoa wafanyabiashara wadogo wanaojishikiza katika maeneo yasiyoruhusiwa mitaa ya Makoroboi na Lumumba.

Wafanyabiashara wengi kati ya hao walio katika vurugu hizo wamekuwa wakilalama kwa madai ya mkanganyo unaojitokeza kila kukicha kwa kauli za wanasiasa zikipingana na maamuzi ya Halmashauri ya jiji la Mwanza.

Halmashauri ikiwaondoa maeneo hayo yasiyo ruhusiwa nao baadhi ya wanasiasa akiwemo Mkuu wa mkoa wa sasa wa Mwanza Mhe. Mlongo naye akiwarudisha kwenye maeneo hayo...... ITAENDELEA  

Tupe maoni yako

0 comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.