ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

Saturday, March 21, 2015

KWAAJILI YAKO...

“A Hungry Man Is Always An Angry Man”….Bob Marley(1945-1983) 
Haya ni maneno ya kifalsafa yaliyowahi kutamkwa na gwiji wa muziki wa Reggae hayati Robert Nestar Marley maarufu kama Bob Marley nayaita maneno ya kifalsafa kwa sababu yalilenga kwenye Ulimwengu halisi aishio mwanadamu, kwa maana ya Kiswahili kauli hii yaweza kusemwa kuwa “mtu mwenye njaa mara zote huwa na hasira”

Tupe maoni yako

0 comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.