ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

Saturday, February 28, 2015

ILIVYOKUWA PARTY BIRTHDAY YA MTANGAZAJI WA METRO FM MWANZA

Ze ugali wa kidhungu....
February 26 Miaka kadhaa iliyopita Mtoto George Binagi-GB Pazzo alizaliwa. Karibu uweze kutazama picha za BIRTH DAY PARTY yake iliyofanyika juzi Lake Hotel Jijini Mwanza kwa mwaka huu 2015. 

"Zaidi ya yote nawashukuru sana Wazazi wangu The late Mzee Daniel Marwa Binagi pamoja na my dear Mama Leah Daniel Binagi kwa malezi yenu bora." Alisema GB

"Ndugu zangu leo naadhimisha miaka kadhaa ya Kuzaliwa. Hakika nimekuwa mpya siku ya leo huku nikiwa ndani ya Kristo. Ninaloweza kusema ni kwamba ya kale yote yamepita. Mabaya tusameheane na mazuri tuyaendeleze...Maneno yangu zaidi nimeyatoa katika kitabu cha 2 Wakorintho 5:17 naombeni mkayasome nanyi. Mungu awabariki na Karibuni sana".
Baba Jutibeibi alisimamia vyema shughuli kama mc.
Alphonce Tonny Kapela hapa alikuwa akimwaga nasaha zake kama meneja wa Metro Fm kwa mtotomzaliwa George Binagi ambaye wanafanya kazi naye kituo kimoja.
Kata keki tule
Kata keki tuleeeee
Kata keki tule woteEEEEeee
Kata keki tuleeeeee.....
To Tommy.
To Juliet.
To Sefroza.
To Loyce na wakati huo huo mamamarazi (kulia)  wakiwa bize kuchukuwa matukio...
To Okeleky.
To Mariam Juma.
To my dada ake Binagi
To Mahmood.
To sister Doric.
Wawoooo na mapozi hata wakati wa kula....
To Kipara aka CHADEMA naye alifurahia utamu wake.
G. Sengo toka 88.1 Clouds Fm Mwanza akilishwa keki na GB
Kutoka kushoto ni Oxs Okeleky ambaye ni Producer @Jembe Fm na Sound Engeneer wa JJ Band akifuatiwa na Sefroza Joseph na Alphonce Tonny Kapela wote kutoka Metro Fm Mwanza.

Tupe maoni yako

0 comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.