ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

Thursday, January 1, 2015

MWANZA YAUKARIBISHA MWAKA 2015 KWA STYLE HII....!!

Ni bendi mpya ya vijana tupu iliyo na maskani yake hivi sasa jijini Mwanza The Mambaz aka Jembe ni Jembe Band aka JJ-Band walikamua ile kisawasawa na kuzikonga nyoyo za mashabiki walioibuka kuuaga mwaka 2014 kuukaribisha mwaka mpya 2015 ndani ya Jembe Beach Mwanza Tanzania.
Friendz wa ukweli waliibuka Jembe Beach kuuaga mwaka 2014 na kuukaribisha mwaka mpya 2015.
Hapa lilipigwa charanga likawachanganya mashabiki hawa.
Selfie na JJ Band aka The Mambaz
Hatariiiii...
Ng'adu kwa ng'adu...
Break dance.
Full Light @Jembe palipendeza kwa maandali ya kipekee
Meza ya wastaarabu.
Flowerz
Meza hii ilikuwa na shangwe 'hATAri'
Hapa alikalishwa mtu....!!
KamuaaaaAAA...!! Kushoto ni CEO wa Jembe ni Jembe Dakitari Mkare.
Blue thing..!!
JJ Band kwa area...
New style imeingia mjini katika kuserebuka na hapa ikitambulishwa na Jembe team.
'Sugua mpaka itakate'
Baada ya makamuzi ya bendi kumalizika Jembe Djz walikamua mpaka jua likaonekana.

Tupe maoni yako

0 comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.