ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

Tuesday, December 23, 2014

MSHINDI WA MTOKO WA MBUGANI ALAMBA MKATABA MNONO SERENGETI.

Mshindi wa kwanza wa shindano la Tutoke na Serengeti, lijulikanalo kama "MTOKO WA MBUGANI" Bw. Hassan Mfaume, akisaini mkataba wake na kampuni ya bia ya Serengeti.Katikati  ni meneja wa bia chapa ya Serengeti Bw.Rugambo Rodney na kushoto ni Meneja wa Serengeti kanda ya Dar es Salaam,Malalia Mmassy. Mkutano  ulifanyika makao makuu ya kampuni hiyo-Chan'ombe jijini Dar es Salaam.
Meneja wa Serengeti kanda ya Dar es Salaam,Malalia Mmassy akisaini mkataba wa mshindi wa shindano la Tutoke na Serengeti, ambapo mshindi huyo anatarajia kusafiri hivi karibuni, Mshindi wa kwanza wa shindano la Tutoke na Serengeti, la kwenda kutalii kwenye mbuga za wanyama , Bw.Hassan Mfaume, Meneja wa bia chapa ya Serengeti,Rugambo Rodney
Meneja wa bia chapa ya Serengeti,Rugambo Rodney akimkabidhi mkataba Mshindi wa kwanza wa shindano la Tutoke na Serengeti, la kwenda mbuga za wanyama , Hassan Mfaume,katikati ni  meneja wa Serengeti kanda ya Dar es Salaam,Malalia Mmassy. Mkutano huo ulifanyika makao makuu ya kampuni hiyo jijini Dar es Salaam.

Tupe maoni yako

0 comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.