ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

Monday, December 22, 2014

HIVI NDIVYO ALIKIBA NA JOH MAKINI WALIVYO KISANUKISHA KWENYE RED CUP PARTY @JEMBE BEACH

Mwanamuziki Alikiba huku akipata mapokezi mazito alipiga bonge la show kwa wapenzi wa burudani walioibuka kwenye bustani ya kitalii Mwanza Jembe Beach iliyoko Malimbe Mwanza.  
Joh Makini Mwamba wa Kaskazini kama ada alikisanukisha 'mbaaaaaaya' @jembenijenbe brazaz N sistaz wakimkubali bila utratra'.
Jembe ililipuka kwa shangwe.
Ni hip hop lakini ladies wanajua mstari baada ya mstari...
Kibajaji style demu anasinzia...
Pap-the PaP...!!
Khatariiii.
Yeeeeeeh.
Toka A City hadi Rock City ni Joh Makini.
Ni mwendo wa kuchukuwa kumbukumbu.
Kila mmoja alikuwa na hamu kumlaki 'Mfalme' @alikiba
See the crowd @jembenijembe.
Wow...!!
Ni red Cup Party at Jembe Beach Mwanza kuelekea sikukuu ya Christimass 
The stage ikitawaliwa na Alikiba.
WuuuP...!!
Kama mduara flani hivi...!!
Mshike mwenzio begani...
Flowers in the house.
Vijana wa Mwanza si ndiyo hawa.
Hisia kali.
Hapa ilipigwa new style iliyoko kwenye wimbo 'Mwana Dar es salaam' kisha kwa mara ya kwanza kikatambulishwa kichupa kipya cha wimbo huo.
Hii utaiona ndani ya 'Mwana Dar es salaam'
Juu kwa juu hadi angle moja ya stage.
Alikiba (L) and G. Sengo (R)
'PAMOJA SANA' Ishara ya kidole kimoja toka kwa msanii anayetikisa kanda ya ziwa right now na track yake iitwayo Changamka he goes by the name of Shaibu Sapi (L) and G. Sengo (R)
Mwanadada mbunifu na muuzaji wa mavazi Mwanza, Annet Koka (C) akiwa na Crew yake.
Whaaaaat....!!!
CEO wa Brand ya 'Jembe ni Jembe' Sebastian Ndege hapa alipata fursa ya kuwatambulisha kwa mara ya kwanza ambayo si rasmi ikisubiriwa rasmi kutambulishwa rasmi Christimass hii ambapo Kidumu na bendi yake watasindikiza uzinduzi huo.  

Tupe maoni yako

0 comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.