ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

Friday, November 21, 2014

IJUMAA IMERUDI TENA TUKUTANE THAI VILLAGE...!!

DSC_0016
Majembe ya Skylight Band yakiporomosha burudani kwa mashabiki wake Ijumaa iliyopita ndani ya kiota cha Thai Village Masaki jijini Dar. Kutoka kushoto ni mkongwe kwenye muziki wa dansi Joniko Flower a.k.a Baba lao, Sony Masamba a.k.a Fally Ipupa wa Bongo na Sam Mapenzi.
DSC_0087
Pichani juu na chini ni mashabiki nao wakijibu mapigo ya sebene lililokuwa likiporomoshwa na majembe ya Skylight Band.
DSC_0089
Mashabiki wa Skylight Band wakijinoma na muziki mzuri kwa kujinafasi ndani ya kiota cha Thai Village Ijumaa iliyopita.
DSC_0121
Usishangae kumuona Sony Masamba kavua shati na kubaki na vest..ilikuwa ni patashika na nguo kuchanika...Joniko Flower akisongesha burudani.
DSC_0030
SAM MAPENZI.....Kuna watu hatari, wenye mapenzi zenye siri kali…Letu nalo lina jua kali, penzi letu serikali…Wajua nakupenda, malaika.......ANETH KUSHABA AK47:......Kuna wengi walafi, fimbo zao haziui mbali…Wengi wao wajidai, mimi kwako no, sitawai…Mmm take me, nitembee nawe….Baby take me, nitembee nawe... bonge moja la kolabo njoo ulishuhudie mwenyewe kwa macho yako.
DSC_0059
Meneja wa Skylight Band Aneth Kushaba AK47 akifanya yake jukwaani kuhakikisha mashabiki wake wanapata furaha na tabasamu nyusoni mwao, usikose usiku wa leo ndani ya Thai Village kuanzia saa tatu usiku.
DSC_0021
If I should stay…..I would only be in your way…..So I'll go but I know…I'll think of you every step of the way…..And I... will always love you, ooh….Will always love you…You….My darling, you.......Mmm-mm...si mwingine ni Bela Kombo katika hisia kali za kuteka mashabiki wa Skylight Band Ijumaa iliyopita ndani ya Thai Village, tukutane baadae kwa play list kali na nyimbo kali zilizoenda shule.
DSC_0115
Hashim Donode akifanya yake huku akipewa sapoti na mwanadada Bela Kombo.
DSC_0093
DSC_0133
Mashabiki nao walicharukaje sasa.....palikuwa hapatoshi uwanjani.
DSC_0140
Mdau MO Tajiri naye alikunwaje na burudani akaamua kutoa kibulungutu na kuanza kutunza kuanzia wapiga vyombo mpaka waimbaji.
DSC_0143
MO Tajiri akiendelea kumwaga manoti kwa waimbaji wa Skylight Band.
DSC_0177
Sehemu ya umati uliofirika kushuhudia burudani ya Skylight Band Ijumaa iliyopita ni balaaaa.
DSC_0198
Burudani ikiendelea.
DSC_0183
DSC_0154
Huku burudani ikiendelea alikuwa anazaliwa Mkurugenzi wa Skylight Band Sultan Gijegije, ambapo wadau na mashabiki wa Skylight Band walimpongeza kwa kumwogesha vinywaji vya kila aina mwilini mwake kama inavyoonekana pichani.
DSC_0156
Birthday boy Sultan Gijegije akiendelea kuogeshwa na vinywaji mbalimbali.
DSC_0162
Swahiba wake wa karibu MO Tajiri akimpongeza Sultan Gijegije kwa kutimiza miaka kadhaa ndani ya bata la Skylight Band Ijumaa iliyopita.
DSC_0168
Team WANAMANYOYA ukodak ulihusika na birthday boy Sultan Gijegije.
DSC_0045
Mdau Rakim Kent (kushoto) akipata ukodak na Mratibu wa Skylight Band Lubea Ijumaa iliyopita ndani ya Thai Village.
DSC_0189
Birthday boy Sultan Gijegije Rais wa Wanamanyoya akipata ukodak na Divas wa Skylight Band Bela Kombo na Aneth Kushaba.
DSC_0192
Birthday boy Sultan Gijegije akiwa na baharia LEMUTUZ (wapili kushoto) pamoja na Eddievied.
DSC_0200
Mtangazaji wa Clouds Radio Ben Kinyaiya akipata Ukodak na birthday boy Sultan Gijegije.
DSC_0204
Na sebene likachezeka na hapo ndio mahali pake... hawa jamaa ni noumaa wakiamua kuwa madansa watafunika sana.
DSC_0213
Backstage nako palinoga sana...!
DSC_0147
Si mwingine anaitwa Customer care akishow love na murembo mkali ndani ya Thai Village Masaki Ijumaa iliyopita.
DSC_0222
Wadau wakipata Ukodak.
DSC_0224
Wabebez wakali kama hawa ndani ya Skylight Band ni Ijumaa hii pia ndani ya Thai Village.
DSC_0229
Pichani ni Hashim Donode wa Skylight Band akipata Ukodak na mashabiki wake.
DSC_0232
Wadau wa Skylight Band wakishow love na ukodak.

Tupe maoni yako

0 comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.