Mdau wa Mziki wa Kizazi kipya ndani ya Bongo na Kwengineko ulimwenguni. Pokea kazi mpya toka kwa wakongwe hawa wawili katika kuihamasisha jamii ya KI-TANZANIA kuhusu hali ya sasa na Uchaguzi mkuu ujao mwaka 2015. Wimbo unaitwa MAKAMANDA, waliochana mistari humo ndani ni Mhe. Sugu na Professor Jay, umefanywa Mwanalizombe Records chini ya Producer Villy. BOFYA PLAY KUSIKILIZA
Je, maadili ya matibabu ni yapi?
-
Kumekuwa na mjadala kwenye mitandao ya kijamii kuhusu video ya daktari wa
Kisomali ambaye alirikodi video ya moja kwa moja kwenye akaunti yake ya
TikTok, a...
KATIKA PICHA MAPOKEZI YA MWILI WA BALOZI DR KAMALA
-
Ni Simanzi kubwa mapokezi ya Mwili wa Balozi Kamala
Jeneza lenye Mwili wa mpendwa wetu
Mkuu wa Wilaya ya Bukoba Mh Erasto Siima amewaongoza wananchi katika...
0 comments:
Post a Comment
Note: Only a member of this blog may post a comment.