ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

Saturday, October 18, 2014

HAWA JAMAA WAMEAHIDI KUMFUNIKA 'TI' LEO LEADERS JIJINI DAR KATIKA SERENGETI FIESTA 2014

Wakati Jiji la Dar es salaam likiongezeka joto kwa Tamasha la Serengeti Fiesta  2014 kumshusha mwanamuziki mkali wa Hip Hop kutoka nchini Marekani mwenye tuzo nyingi za Grammy, mtu mzima TI, tayari kuna wadau wa kuchana kitaani wameanza kutamba kuwa beat aliyoitumia msanii huyo katika wimbo wa No Midiocle, eti,,,,naongeza eti,,,,, hakuitendea haki, hivyo na wao wakaamua kutinga studio na kuifanyizia 'babakE'.

Jeh wamempiku, wamefanikiwa kumpindua, wamemfunika au wametokota?? 

SIKILIZA KWA KUBOFYA PLAY.


 Meneja wa Msanii wa Kimataifa T.I,  Jonson Geter wa kwanza kushoto akifafanua jambo kupitia moja ya maswali yaliyoulizwa na mmoja  wasanii walioshiriki kwenye semina ya fursa ndogo ya Wasanii na wadau wa muziki iliyofanyika kwenye ukumbi wa Litle Theather,jijini Dar, Pichani kulia ni Prodyuza  mahiri wa Muziki wa hapa nchini anayemiliki studio yake Bongo Records, P-Funk Majani.

Tupe maoni yako

0 comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.