ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

Saturday, September 27, 2014

UZINDUZI WA ALBUM YA 'NANI KAMA MAMA' WATIA FORA JIJINI MWANZA

Mwanamuziki Christian Bella usiku wa kuamkia leo amepiga bonge la show jijini Mwanza ikiwa ni uzinduzi wa Album yake mpya 'Nani kama mama',  shughuli ikifanyika katika ukumbi wa Buzuruga Plaza.
Akisema na mashabiki wake wa Mwanza.
Stage ilikamilika kwa nakshi za wakali hawa.
Hatari
Sauti za nguvu.
Ni mmoja kati ya wapenzi wakubwa wa burudani mkoani Mwanza 'Afande Abou' akimtunza mmoja kati ya wanamuziki wa Malaika Band.
ShigiDi''''
Live toka kwenye stage hadi kwa mashabiki.
Pamependeza mahala hapa.
Mashabiki wa Gsengo blog.
Mkurugenzi wa Myway Entertainmaent Paul Maganga (kushoto) akishow love na rapa namba moja wa Malaika Band Totoo ze Bingwa.
The nyomi.
Nice.
Imbaaaa...
Watu wanapenda kumbukumbu...!!
Nani kama mama?
Mpiga kinanda namba moja wa Malaika Band Andrew Sekedia akituzwa na wanamuziki wenzake.
Bella na shabiki wake.
Kila kazi ya Christian Bella kwa jukwaa hili ilikuwa na mvuto wake.
Mashabiki wakiwatunza wanamuziki wa Malaika Band.
Rappa Totoo ze Bingwa ni Balla mkali ile mbaya.
Sikiliza mziki mwingine...Ha...ha...ha
Za kichina china...!!
Milipuko ya Rapa BombeX
Kutoka kushoto ni Afande Jose aka Mzee wa Boma ya Ng'ombe,Bella na Gsengo
Peace.
Kabago na meza ya wadau wake.
Brothers na Cheza kidansi.
Hisani kubwa ya Pepsi yote haya yamefanyika.

Tupe maoni yako

0 comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.