ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

Friday, September 12, 2014

OG WALAWALA CUP YAZINDULIWA RASMI WILAYANI MUHEZA.

Ikiwa ni sehemu ya kuendeleza michezo nchini na kukuza vipaji vya vijana na michezo ajira mpambanaji Omary Muhando toka wilayani Muheza mkoani Tanga ameanzisha ligi yake inayojulikana kama OG Walawala Cup, ligi ambayo imeanza kutimua vumbi tangu jumanne ya tarehe 12 mwezi uliopita wa nne mwaka huu 2014 katika uwanja wa Jitegemee. 
Timu 18 shiriki za michuano hiyo zikiwa katika paredi la utambulisho kabla ya mchezo wa ufunguzi kwa ligi hiyo, inayoshirikisha timu za vijana toka kata mbalimbali wilayani Muheza mkoani Tanga.
Michezo ni urafiki michezo ni udugu na udugu ni kufahamiana kunakodumisha uzalendo.
Mkuu wa wilaya ya Muhaza mkoani Tanga Mhe. Subira Mgalu ndiye alikuwa mgeni rasmi wa mchezo wa ufunguzi wa ligi ya OG Walawala Cup kati Lusanga v/s Muheza uliochezwa tarehe 12/08/2014 ambapo matokeo Muheza waliibuka washindi bao 2 dhidi 1 la Lusanga.

Tupe maoni yako

0 comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.