ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

Tuesday, August 19, 2014

KOCHA SUPER D AENDEREA KUMWAGA SUMU KWA VIJANA WA KAMBI YA ILALA.

Kocha wa Kimataifa wa mchezo wa Masumbwi nchini Rajabu Mhamila 'Super D'  kushoto akiwaelekeza mabondia jinsi ya kupiga ngumi ya mkunjo wa chini 'upcut'
wakati wa mazoezi yaliyofanyika katika kambi ya Ilala iliyopo  Amana CCM hivi karibuni.
Kocha wa Kimataifa wa mchezo wa Masumbwi nchini Rajabu Mhamila 'Super D'  kushoto akimwelekeza bondia Lulu Kayage jinsi ya kupiga ngumi kwa kuingia ndani bila woga wakati wa mazoezi yaliyofanyika katika kambi ya Ilala hivi karibuni.
Kocha wa Kimataifa wa mchezo wa Masumbwi nchini Rajabu Mhamila 'Super D'  kushoto akiwaelekeza mabondia wake jinsi ya kupiga ngumi yenye mkunjo wa chini 'Upcut' wakati wa mazoezi yaliyofanyika katika kambi ya Ilala hivi karibuni.
Kocha wa Kimataifa wa mchezo wa Masumbwi nchini Rajabu Mhamila 'Super D'  kushoto akiwaelekeza jinsi ya mkao wa kupiga ngumi nzuri za mkunjo 
wakati wa mazoezi yaliyofanyika katika kambi ya Ilala hivi karibuni. 
Kocha wa Kimataifa wa mchezo wa Masumbwi nchini Rajabu Mhamila 'Super D'  kushoto akimwelekeza bondia Lulu Kayage jinsi ya kupangua ngumi kwa kuingia ndani bila woga wakati wa mazoezi yaliyofanyika katika kambi ya Ilala hivi karibuni.picha na www.superdboxingcoach.blogspot.com

Tupe maoni yako

0 comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.