ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

Monday, July 28, 2014

KAMPUNI YA BIMA YA RESOLUTION YAFUTURISHA WATEJA WAKE

Sheikh Mkuumsaidizi wa Mkoa wa Dar es Salaam, Athuman Mkamb akuakizungumza na wageni waalikwa wakati wa Futari iliyoandaliwa na Resolution Insurance iliyofanyika katika Hoteli ya Serena jijini Dar es Salaam mwishoni mwa wiki.
WageniwaalikwawakipataFutariiliyoandakliwaResolution Insurance iliyofanyikakatikaHoteliya Serena jijini Dar es Salaam mwishonimwa wiki.
Meneja Mkuu wa Resolution Insurance, Oscar Osir akizungumza na wageni waalikwa wakati wa Futari iliyoandaliwa na Resolution Insurance iliyofanyi kakatika Hoteli ya Serena jijini Dar es Salaam mwishoni mwa wiki.
Baadhi ya wageni waalikwa wakiwa katika picha ya pamoja mara baada ya futari iliyoandaliwa na Resolution Insurance iliyofanyika katika Hoteli ya Serena jijini Dar  es Salaam mwishoni mwa wiki.
Baadhi ya wageni waalikwa wakiwa katika picha ya pamoja mara baada ya futari iliyoandaliwa na Resolution Insurance iliyofanyika katika Hoteli ya Serena jijini Dar es Salaam mwishoni mwa wiki.
TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI

Dar es Salaam, Jumatano 23 Julai 2014: Kampuni ya Bima ya Resolution leo hii imeaanda hafla ya kufuturisha wateja wake katika hoteli ya Serena, jijini Dar es Salaam. Hafla ilihudhuriwa na Sheikh Msaidizi wa Dar es Salaam, Sheikh Athuman Makumbaku.

Akizungumza na waandishi wa habari wakati wa hafla hiyo, Meneja Mkuu wa Resolution Insurance nchini Tanzania, Bwana Oscar Osir alisema, "Tunawashukuru sana kwamba mmehudhuria hafla hii na tunawapongeza kwa uvumilivu wenu katika mwezi huu mkuu wa Ramadhan.”.

Naye Sheikh Makumbaku alsiema, "Kwa niaba ya ndgug zangu Waislamu ningependa kuwashukuru Resolution Insurance kwa kutukumbuka wakati wa Mwezi huu Mtukufu wa Ramadhan. Pia ningependa kuwahimiza Waislamu wenzangu kutia maanani amri wakati wa Mwezi Mtukufu. Tuonesha upendo na uvumilivu kwa wote, kusameheana na kuwasaidia wale ambao hawana uwezo wa kujisaidia”.


Bwana Osir alimaliza kwa kusema, "Tunashukuru sana kwa ushirikiani wenu kwani ndiyo inatupa motisha ya kuendelea kuwapa huduma bora zaidi. Katika shughuli za kuwapa Huduma zilizo bora zaidi na zinazoweza kuwahudumia ukiwa hapa nchini na hata sehemu yeyote duniani. Ningependa pia kuwahakikishia kuwa tutaendelea kuwapa bidhaa bora na kuwasikiliza ili tutimize mahitaji yenu".

Tupe maoni yako

0 comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.