ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

Saturday, June 28, 2014

WAY BACK CONCERT KUFANYIKA LEO CCM KIRUMBA MWANZA.

Inspector Haroon aka Babu (L) akiwa na Soggy Doggy Hunter (R) jana usiku kwenye stage la Villa Park wakiwakaribisha wakazi wa jiji la Mwanza kwenye Tamasha la Burudani ya Bongo fleva za kale litakalofanyika leo Jumamosi ya tarehe  28 juni 2014 katika uwanja wa CCM Kirumba. 

'SIKILIZA MPANGO MZIMA'
Inspector Haroon aka Babu akiwa sambamba na Jay Moo, Juma Nature, Suma G, Soggy Doggy Hunter na Afande Sele wakiwa chini ya usimamizi wa Dj Choka wanategemea kufanya show leo kuanzia saa 11 jioni hii katika uwanja wa CCM Kirumba Mwanza ambapo kiingilio ni shilingi 3,000/= Vinywaji, vyakula, kuwepo.
Utambulisho jana usiku.
yep...
We are in..

Tupe maoni yako

0 comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.