ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

Saturday, April 5, 2014

VIKOBA VYAZINDULIWA MWANZA NA MSTAHIKI MEYA MABULA.

Mstahiki Meya wa Jiji la Mwanza Stanslaus Mabula akizindua mfuko wa kuweka na kukopeshana ujulikanao kama Vikoba, kushoto anaonekana Rais wa Vikoba Tanzania Bi. Devota Likokola akihamasisha kuwa mfuko huosi kwa wananchi wa mijini tu bali hata vijijini. 

Mstahiki Meya Mhe. Mabula ameahidi kuwapatia wadau hao wa Vikoba kuwapatia kiwanja kwa ajili ya kujenga ofisiPICHA NA ZEPHANIA MANDIA.

Tupe maoni yako

0 comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.