ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

Friday, April 4, 2014

PICHA ZA MATUKIO SHEREHE ZA WIKI YA ELIMU WILAYANI ITILIMA.

Bango la makaribisho.
Mgeni rasmi aliyealikwa kwa niaba ya mkuu wa mkoa wa Simiyu bwana Maganga na mkuu wa wilaya ya itilima Georgina Bundala wakiwasili katika sherehe hizo.
Wananchi walio hudhulia katika sherehe hizo za wiki ya Elimu .
Mwanafunzi bora wasomo la hesabukandayamagharibi akikabidhiwa cheti na fedha taslimu kutoka shule ya sekondari Nkoma.
Baadhi la walimu walio tunukiwa vyeti kwaajili ya ufundishaji wao uliofanya wilaya pamoja na wanafunzi kufaulu masomo yao.
Diwani wa kata ya migato akipokea cheti cha kiongozi bora katika shereheza wiki ya elimu   wilayani Itilima.
Wananchi. 
Mwakilishi wa mkuu wa mkoa Bwana Maganga akitoa hotuba kama ilivyoandaliwa na mkuu wa mkoa wa Simiyu.
Baadhi ya wanafunzi wa shule za sekondari Itilima, Inalona.
PICHA: FAUSTINE FABIAN.

Tupe maoni yako

0 comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.