ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

Saturday, March 1, 2014

LIGI SOKA DARAJA LA KWANZA TZ BARA TOTO YAINYUKA 2-0 POLISI MARA

Ma-Kapteni wa timu za Toto (kulia) na Polisi Mara (kushoto) wakisalimiana mbele ya waamuzi kabla ya mchezo wao wa Ligi Soka Daraja la Kwanza Tanzania Bara, uliochezwa uwanja wa CCM Kirumba jijini Mwanza, dakika 90 zikimalizika Toto 2, Polisi Mara 0.
Kikosi cha Polisi Mara kilichoshuka leo dimbani CCM Kirumba kukabiliana na Toto Africans.
Mchezo wa Ligi soka daraja la Kwanza Tanzania bara katika kundi C baina ya Toto Africans na Polisi Mara umemalizika dimbani CCM Kirumba jioni ya leo kwa Toto Africans ya jijini humo kuibuka na ushindi mnono nyumbani kwa kuwabugiza Maafande wa Mara, bao mbili sifuri (2-0) Zaidi sikiliza taarifa ifuatayo toka Mwanza:- (BOFYA PLAY)

Tupe maoni yako

0 comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.