Ma-Kapteni wa timu za Toto (kulia) na Polisi Mara (kushoto) wakisalimiana mbele ya waamuzi kabla ya mchezo wao wa Ligi Soka Daraja la Kwanza Tanzania Bara, uliochezwa uwanja wa CCM Kirumba jijini Mwanza, dakika 90 zikimalizika Toto 2, Polisi Mara 0.
Kikosi cha Polisi Mara kilichoshuka leo dimbani CCM Kirumba kukabiliana na Toto Africans.
Mchezo wa Ligi soka daraja la Kwanza Tanzania bara katika kundi C baina ya Toto Africans na Polisi Mara umemalizika dimbani CCM Kirumba jioni ya leo kwa Toto Africans ya jijini humo kuibuka na ushindi mnono nyumbani kwa kuwabugiza Maafande wa Mara, bao mbili sifuri (2-0) Zaidi sikiliza taarifa ifuatayo toka Mwanza:- (BOFYA PLAY)
KATIKA PICHA MAPOKEZI YA MWILI WA BALOZI DR KAMALA
-
Ni Simanzi kubwa mapokezi ya Mwili wa Balozi Kamala
Jeneza lenye Mwili wa mpendwa wetu
Mkuu wa Wilaya ya Bukoba Mh Erasto Siima amewaongoza wananchi katika...
0 comments:
Post a Comment
Note: Only a member of this blog may post a comment.