ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

Thursday, January 2, 2014

PART TWO: SKYLIGHT BAND YAPAGAWISHA MKESHA WA MWAKA MPYA NDANI YA PANTONI FB CHACHA JIJINI MWANZA

DSC_0527
Dr. Sebastian Ndege a.k.a JEMBE akizungumza na wakazi wa jiji la Mwanza waliojumuika na Skylight Band katika mkesha wa mwaka mpya ndani ya Pantoni FB CHACHA kwenye party la nguvu lililopewa jina la "THE ROCK CITY CRUISE PARTY" maalum kwa wakazi wa Mwanza na kwa mara ya kwanza kushuhudia steji mpya pamoja na vyombo vipya vya Bendi hiyo.
DSC_0606
Mmiliki wa Pantoni FB CHACHA Bw. Kitama akiwasalimia mashabiki wa Skylight Band jijini Mwanza.
DSC_0399
Huu ndio muonekano wa steji mpya ya Skylight Band iliyofungwa ndani ya Pantoni FB CHACHA.
DSC_0705
Mashabiki wa Skylight Band jijini Mwanza wakiburudika kwenye mkesha wa mwaka mpya ndani ya Pantoni FB CHAHA.
DSC_0432
Diva's wa Skylight Band wakitoa burudani kwa mashabiki wao jijini Mwanza. Kulia ni Winnie pamoja na Mary Lucos.
DSC_0447
Digjna Mbepera na Winnie wakifanya yao jukwaani.
DSC_0458
Mary Lucos katika feelings kali.
DSC_0651
Kipaji kipya ndani ya Skylight Band Hashim Donode akitoa burudani kwa mara kwanza kwa mashabiki wa bendi hiyo jijini Mwanza ndani ya Pantoni FB Chacha kwenye mkesha wa mwaka mpya.
DSC_0716
Full mzuka kwa timu nzima ya Skylight Band.
DSC_0664
DSC_0799
DSC_0698
Mashabiki wakisebeneka kwa raha zao ndani ya Pantoni FB CHACHA.
DSC_0703
DSC_0727
DSC_0941
Blogger GSENGO wa jijini Mwanza Bw. Albert Sengo akisebeneka na Sam Mapenzi kwenye mkesha wa mwaka mpya.
DSC_1000
Mzuka unapokolea.
DSC_0753
Rappa wa Skylight Band Sony Masamba alizaliwa tarehe 1/1..... Uongozi wa Skylight Band ulimfanyia bonge la Surprise..
DSC_0754
DSC_0763
Pichani akipongezwa na Captain Chacha pamoja na Meneja wa kinywaji cha K-Vant Bw. James (mwenye t-shirt ya mistari) ambao ni mmoja wa wadhamini waliofanikisha bata hilo.
DSC_0765
Mpango mzima wa cake ulihusika pia.
DSC_0810
Baada ya cake birthday boy aliingia kwa steji na kutoa burudani.
DSC_0616
Pichani juu na chini ni Sehemu ya umati wa wakazi wa jijini la Mwanza wakipatia huduma za vinywaji na nyama choma kwenye fukwe za Club Jembe ya jijini Mwanza.
DSC_0623
DSC_0807
Umati wa wakazi wa jijini Mwanza ukiwa umefurika ndani ya Pantoni FB CHACHA huku Skylight Band ikitumbuiza.
DSC_0820
Steji ya kimataifa vyombo vipya kwa mara ya kwanza ndani ya jiji la Mwanza haijawahi kutokea.

DSC_0824
DSC_1010
Skelewu....Skelewu.....Skeleleeeeeeee...!!!
DSC_1014
Sam Mapenzi sambamba na Lubea wa Skylight Band kwa pamoja wakicheza SKELEWU.
DSC_0500
Sam Mapenzi akipagawisha mashabiki wa Skylight Band.
DSC_0551
Meneja wa Skylight Band Aneth Kushaba AK47 akifanya yake huku akipewa sapoti na Mary Lucos, Hashim Donode pamoja na Digna Mbepewa.
DSC_0869
Dance if you wanna dance.
DSC_0870
Sisters wakitumia vyao tartiiiib...
DSC_1002
Vunja kabati.
DSC_0516
Burudani ikiendelea kwa mashabiki wa Skylight Band ndani ya Pantoni FB CHACHA mkesha wa mwaka mpya.
DSC_0940
Blogger Zainul Mzige akiwa na Team Skylight pamoja Dr. Sebastian Ndege a.k.a JEMBE

Tupe maoni yako

0 comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.