ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

Friday, January 24, 2014

NJOO UPUNGUZE STRESS ZA WIKI NZIMA NA BURUDANI YA SKYLIGHT BAND NDANI YA THAI VILLAGE MASAKI LEO.

DSC_0010
Kikosi kazi cha Skylight Band kikiongozwa na Rappa Joniko Flower kikitoa burudani kwa mashabiki wao ndani ya kiwanja chao cha Thai Village, Masaki jijini Dar Ijumaa iliyopita. Kutoka kulia ni Winfrida Richard, Sam Mapenzi, Aneth Kushaba AK 47 pamoja na Digna Mbepera.
DSC_0061
Mashabiki wa Skylight Band mdogo mdogo wakijimuvuzisha kwa Dancing Floor.
DSC_0012
Am not a Gold Digger...Njagala Mukwano..... ni Winfrida Richard, Hashim Donode na Digna Mbepera wakiwapa raha mashabiki wa Skylight Band.
DSC_0048
Joshua Ndege akimwaga mifwedha kwa Mary Lucos.
DSC_0088
Digna Mbepera akikonga nyoyo za mashabiki wa Skylight Band.
DSC_0127
Tuwapo Skylight Band tunatupa shida chini tunaweka mikono juu......Mashabiki wakijiachia kwa raha zao.
DSC_0130
Sony Masamba a.k.a Fally Ipupa wa Bongo akiwapagawisha mashabiki wa Skylight Band.
DSC_0134
Full kuchizika yani usipime itumie Ijumaa yako ya leo vizuriiiiii na Skylight Band.
DSC_0030
Aneth Kushaba AK74 na Mary Lucos wakifanya yao jukwaani.
DSC_0116
Shazi la mashabiki wa Skylight Band wakijimwaga kwenye dancing floor.
DSC_0050
Sam Mapenzi sambamba na Sony Masamba wakitoa burudani kwa mashabiki wa Skylight Band.
DSC_0128
DSC_0153
Mheshimiwa Bundala Backstage na Digna Mbepera wa Skylight Band.
DSC_0152
Lubea wa Skylight Band na Ukodak
DSC_0149
Wadau Donny pamoja na Martin Tanrose wakishow love.
DSC_0148
Sisi Dugu moja.... Aba Billdard na Mdogo wake Cliff Seduu wakipata Ukodak.
DSC_0037
Backstage ya wasanii wa Skylight Band.

Tupe maoni yako

0 comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.