ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

Friday, November 8, 2013

ULIVYOKUWA USIKU WA USHINDI KWA WANAHABARI WA TZ

Mkurugenzi wa MOIL Aritaf Mansoor aka Dogo, ambaye alikuwa mgeni rasmi wa Usiku wa ushindi wa wanahabari wa Tanzania uliofanyika JB Belmonte jijini Mwanza akihutubia hadhara iliyohudhuria hafla hiyo ambayo ilifuata mara baada ya kufanyika kwa Tuzo ya Daudi Mwangosi siku ya jana.
Wadau wa habari kwa umakini wakifuatilia kwaumakini kilichokuwa kikijiri haflani.
Ni taswira za wadau shughulini hapa.
Kutoka kushoto ni Adam Lyoba, Meneja mdhibiti viwango MCT Pili Mtambalike na Mwenyeji wao Mwenyekiti wa Mwanza Press Club Mr. Deus.
"Wacha na burudani zitawale....." Hapa ni Mc Erica toka Radio Free Africa na Mc G. Sengo wa Clouds Fm wakitambulisha jambo ambapo yeyote aliyekuwa na kipaji cha burudani alikaribishwa kukionesha...mmmmh waandishi  ni balaaa!!!
Rais wa UTPC (kushoto) akiteta jambo na Mkurugenzi wa MOIL (kulia).
Hapa kulikuwa na bo-bo-bonge la burudani sehemu ambapo tuligundua kipaji kingine kilichofichika cha Mtunukiwa wa Tuzo ya Daudi Mwangosi 2013-2014 Absolum Kibanda (wa kwanza kulia) wengine katika picha ni Fredrick Katulanda wa Mwananchi Communication na Erica Elias wa radio Free Africa.
Jaji alikuwa Fredrick Katulanda (mwenye kipaza sauti) ambapo kilichofuata mara baada ya hapo ebana--eeeeeeh...Duh Uspime...!! Video yake itauzwa ghali sana.
Kisha chakula....
Na mazungumzo ya hapa na pale.
Wakiwa deep sana kushoto ni Hamza Kasongo na kulia ni Mansoor Dogo.
Akipewa tafu na Jambo Stars Band, Aisha Hamadi aliutendea haki wimbo wa Mbilia Bell.
Muziki uliwakolea...
Watu walivunja makabati ...
Bass guitalist.
Mduala toka Tabora.
Vijana wa kazi wakiwa na Mkurugenzi wa MOIL Mr. Mansoor Dogo.
G. Sengo (L) akiwa na Mzee Hamza Kasongo(C) na Makamu wa rais wa UTPC (R).
Safi.

Tupe maoni yako

0 comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.