ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

Thursday, November 14, 2013

TSC YAOMBA WADHAMINI KUSAPOTI TANZANIA KUELEKEA KOMBE LA DUNIA LA WATOTO WAISHIO MAZINGIRA MAGUMU 2014 BRAZIL

                      Kocha Slyvester Mash.                                                       Aritaf Mansoor aka Dogo. 
 NA ALBERT G. SENGO.
MWANZA.

Mazoezi kwa timu ya Taifa ya Tanzania kwa watoto waishio katika Mazingira magumu yaaendelea jijini Mwanza.

Mkurugenzi wa kampuni ya Moil Industry Aritaf Mansoor Dogo amewataka wadau wa michezo pamoja na makampuni mbalimbali kujitokeza kuongeza nguvu katika kudhamini maandalizi hayo sambamba na kuwapatia vifaa vijana hao ili kufikia malengo ya kuutwaa ubingwa wa dunia Kombe la vijana waishio mazingira magumu. (BOFYA PLAY SIKILIZA)

Tupe maoni yako

0 comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.