ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

Saturday, November 30, 2013

PIKI PIKI ITAKAYOGOMBANIWA NA MABONDIA NASSIBU RAMADHANI NA MOHAMED MATUMLA YAONESHWA

Meneja Masoko wa kampuni ya haojue,Wawa Laida kulia akiwaonesha pikipiki itakayogombaniwa Dar es salaam jana  na mabondia Nassibu Ramadhani kushoto na Mohamed Matumla siku ya Desemba 25  wengine wa pili kushoto ni Rashidi Matumla,Christopher Mzazi na mlatibu wa mpambano uho Kaike Siraju. 

Mratibu wa mpambano wa ndondi Kaike Siraju akiojiwa akiwa juu ya pikipiki itakayogombaniwa na mabondia Mohamed Matumla na Nassibu Ramadhani siku ya Desemba 25. 
Bondia mkongwe nchini Rashid Matumla akihojiwa juu ya pikipiki itakayo gombaniwa kati ya mwanae Mohamed Matumla na Nassibu Ramadhani siku ya Desemba 25.

Tupe maoni yako

0 comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.