ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

Friday, October 11, 2013

YALIVYOKUWA MAZISHI YA BABA MZAZI WA MWANDISHI PETER FABIAN

Peter Fabian (mwenye koti ya brown) akitoa heshima za mwisho kwa mwili wa marehemu baba yake mzazi katika ibada ya mazishi iliyofanyika kisiwa cha Ukerewe  mkoani Mwanza.

Ndugu wa marehemu wakitoa heshima za mwisho kwa marehemu.

Kusanyiko katika ibada ya mazishi nyumbani alikozaliwa marehemu.

Ibada ikiendelea.

Mwili wa marehemu ukishushwa kwenye yake makazi ya milele.

Kaka wa marehemu akiweka mchanga.

Peter Fabian ambaye ni mwandishi wa habari wa gazeti la Mtanzania na Mzawa la jijini Mwanza akiweka mchanga kwenye kaburi la marehemu baba yake.

Huduma muhimu  katika ibada ikiendelea.

'Kwaheri' ni kauli ambayo inamtoka mama huyu.

G. Sengo iliwakilisha kwenye msiba huu.


Dada wa marehemu. wakiweka mashada ya maua.

Watoto wa kiume wa marehemu.

Mtoto wa marehemu ambaye ni kaka mkuu naye akiweka shada la maua kwenye kaburi.

Wajukuu wa marehemu.

Kaka wa marehemu.

Mwakilishi wa wanahabari Mwanza Albert G. Sengo naye akiweka shada la maua kwenye kaburi la baba wa mwandishi wa habari mwenziye.

Mwisho kabisa Shangazi alikuwa na neno kwa wana familia. (Sauti kuwajia punde)

Tupe maoni yako

0 comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.