ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

Saturday, July 20, 2013

WANAFUNZI BWIRU WASHIRIKI MCHAKATO WA KUFANYA TATHIMINI YA MAPOKEO YA KAMPENI YA MALARIA HAIKUBALIKI JIJINI MWANZA

Wanafunzi wa Shule ya Sekondari wavulana Bwiru wakiwa katika picha ya pamoja na waratibu wa zoezi la Mchakato wa kufanya tathinimi ya jinsi kampeni ya Malaria  Haikubaliki imeleta mabadiliko gani kwa wakazi wa mkoa wa Mwanza kabla ya kelekea mitaani kuzungumza nawananchi.


Wanafunzi wa Shule ya Sekondari wavulana Bwiru wakiwa katika picha ya pamoja na waratibu wa zoezi la Mchakato wa kufanya tathinimi ya jinsi kampeni ya Malaria  Haikubaliki imeleta mabadiliko gani kwa wakazi wa mkoa wa Mwanza kabla ya kelekea mitaani kuzungumza na wananchi.

Hili ni zoezi litakalodumu kwa siku kumi kwa wadau hawa kupita kaya kwa kaya kulingana na vigezo vyao kwa mategemeo kuwa mwisho wasiku watakuja na majibu ya tathimini.


Waratibu wa zoezi la Mchakato wa kufanya tathinimi ya jinsi kampeni ya Malaria  Haikubaliki imeleta mabadiliko gani nchini, Aunty Sadaka (kulia) na Dada wakijadiliana mambo ya msingi kabla ya kuelekea kwenye kaya mbalimbali na sehemu za mikusanyiko.


Wafanya tathimini wakielekea zoezini.


Kila la kheri kwa Tathimini Team twajua mwisho wasiku mtakuja na majibu yakinifu.


Big up pia kwa Chata la Skonga hii... 

Tupe maoni yako

0 comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.