ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

Saturday, July 6, 2013

LEO YANGA 1 KCC1, KURUDIANA KESHO NDANI YA UWANJA WA KAMBARAGE SHINYANGA

Mstahiki Meya wa jiji la Mwanza Stanslaus Mabula akikabidhiwa na wanachama wa Yanga Kombe la Ubingwa lililonyakuliwa na timu hiyokatika msimu wa 2012-2013 kama ishara ya kombe hilo kuingia jijini Mwanza ni katika uwanja wa CCM Kirumba ambapo kulikuwa na mechi ya kirafiki baina ya Mabingwa Yanga na Mabingwa KCC ya Uganda. Matokeo timu hizo zilitoka sare ya bao 1-1. 

Yanga V/S KCC.

Mchezo ukiendelea.

Safu ya wageni meza kuu ikiongozwa na Mwigulu Nchemba.

kombe likitembezwa kwa mashabiki uwanja wa CCM Kirumba Mwanza.

VIP

Mahojiano na kepteni wa KCC ya Uganda.

Felix Minziro - Kocha msaidizi wa timu ya Yanga

Mahamudu Katerega- Kocha mkuu KCC ya Uganda.

Wanachama wa Yanga na makombe yao y Ubingwa na lile la timu yenye nidhamu.
Kesho timu hizo zitashuka tena dimbani kurejeana katika uwanja wa CCM Kambarage katika kusherehekea sikukuu ya sabasaba mkoani Shinyanga.

Tupe maoni yako

0 comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.