ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

Saturday, July 27, 2013

BAVON KUSHEREHEKEA SIKU YAKE YA KUZALIWA LEO NA WANA BEAT AGENDA HOME MWANZA

 Eh bana siku kama ya leo miaka kadhaa iliyopita ni siku ya kuzaliwa Prizenta wa kipindi kinacho hit' ile mbayaaaa kwa srini yako ndani ya lebo ya TBC1, hapa naizungumzia show ya Beat Agenda, na mbazdeiwa ni ma-men men Bavon.
Yuko tayari 'Rock City' kwaajili ya kujumuika na watu wake wa home kwaajili ya kula bata sambamba na kupokea mibaraka ya Mwanza Kwanza.
Ofcoz jioni ya leo kuna bonge la Party pande hii... Unauliza party wapi? 
Mcheki mwenyewe kwa sms...'''' 

Halla to Yaaa!! 
Happy Birthday Bavon.

Tupe maoni yako

0 comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.