ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

Saturday, May 18, 2013

YANGA YASHEREHEKEA UBINGWA KWA KUMNYOA MTANI WAKE

Nahodha wa Yanga, Nidir Haroub  'Canavaro' akiwa amenyanyua kombe la Ubingwa
wa 
Ligi Kuu ya Soka Tanzania Bara pamoja na wachezaji wenzake.

Beki wa Simba, Musa Mudde (kushoto) akichuana na mshambuliaji wa Yanga, Didier Kavumbagu katika mchezo wa Ligi Kuu ya Soka Tanzania Bara uliofanyika kwenye
Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam, leo.


Kikosi cha Simba.

Makocha wa yanga wakipanga mikakati ya Ushindi.
Timu zikiingia uwanjani.

Beki wa Simba, Shomari Kapombe akimtoka mshambuliji wa Yanga, Simon Msuva

Msanii Juma Nature akitumbuiza wakati wa mchezo huo.
Mashabiki wa Yanga
.
Raha ya ushindi.
Kocha wa Yanga, Ernst Brandts akiwa amebebwa na wachezaji wake.
Mashabiki wa Yanga.
Kipa wa Simba, Juma Kaseja akijaribu bila mafanikio kuokoa mpira wa kichwa 
uliopigwa na mshambuliaji wa Yanga, Didier Kavumbagu katika mchezo wa kufunga 
pazia la Ligi Kuu ya Soka Tanzania Bara uliofanyika kwenye Uwanja wa Taifa 
jijini Dar es Salaam leo.


Mashabiki wa Yanga wakiwa wamembeba mshambuliaji wa Simba, Mrisho Ngasa 
mara baada ya mpira kumalizika, ikiwa ni ishara ya kumkaribisha katika klabu yao.


Refa wa mechi ya Simba na Yanga, Nartin Saanya akiwa chini baada ya kugongwa 
kwa bahati mbaya na mchezaji wa Yanga, Didier Kavumbagu.
PICHA ZOTE KWA HISANI YA HABARI MSETO

Tupe maoni yako

0 comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.