ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

Thursday, May 23, 2013

MOJA YA CHANGAMOTO ZA WAANDISHI WA HABARI



Zipo changamoto nyingi zinazowakabili wanahabari nchini tanzania, mbali na usalama wao pale wanapoibua mambo ndani ya mazingira yanayo wazunguka, wakisaka habari katika njia hatarishi na mambo kadha wa kadha lipo suala la kukosa ushirikiano kutoka kwa vyanzo vya habari ...dah kaazi kweli kweli.. chungulia kideo.

Tupe maoni yako

0 comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.