ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

Thursday, April 18, 2013

CHEREKO CHEREKO LA HARUSI YA MARTIN WILLIAM NA JOYCE KABAGO LAFANA JIJINI MWANZA.

Hongera kwa Martin na Joyce kwa kufunga ndoa.

Bwana Martin William akimvisha pete Bi. Joyce Kabago kamaishara ya uaminifu kwa ndoa takatifu.

Bibi harusi Joyce Kabago akimvisha pete ya harusi Bw. Martin huku akila kiapo mbele ya kanisa.

Vyeti vya ndoa takatifu ya Bw. Martin na Bi. Joyce, iliyofungwa katika kanisa la Roman Catholic Buswelu jijini Mwanza.

Maharusi wakijiandaa kwaajili ya msafara.

Msafara kutoka kanisani mara baada ya ndoa takatifu ya Bw. Martin na Bi. Joyce, kufungwa katika kanisa la Roman Catholic Buswelu jijini Mwanza.

Wow....!!!

Nice.

Safi.......!!!!

Meza kuu ya bwana harusi.

Ndugu toka familia zote nao walijumuika katika picha za ufukweni.

Smile za maharusi katika siku hii muhimu.

Bwana harusi anaitwa Martin naye mshenga anaitwa Martin.

Wakipongezana kushoto ni Baba wa Bibi harusi  Mr. Kabago na kulia ni Baba wa Bwana harusi Mr. William.

Nilishe nikulishe ya keki ya harusi ya Bw. Martin William na Bi. Joyce Kabago.

Mambo ya maakuli.

Wafanyakazi wenzake na bwana harusi katika picha ya pamoja na maharusi.

Tupe maoni yako

0 comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.