ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

Friday, March 8, 2013

SKYLIGHT BAND KULA RAHA ZA PASAKA 2013 NA WAKAZI WA MWANZA

"Na wewe usikose" ni Muhksin Mambo aka Mc Stopper na manjonjo yake kwenye kikao cha matayarisho kuelekea siku ya Pasaka ambapo jiji la Mwanza litashuhudia ujio wa mara ya kwanza wa Skylight Band, itakayoshusha burudani mbili, ya kwanza itafanyika Jumapili ya tarehe 31/03/2013 (Pasaka) ukumbi wa JB Belmount na kisha Jumatu ya Pasaka shangwe zitahamia Villa Park. 
Zaidi sikiliza tangazo...

Wadau wa meza kuu  ya matayarisho ya Bonge la Party la Skylight Band litakalofanyika Rock City, kutoka kushoto ni Jackob Usungu, Justin Ndege, Kingu na Hanry wakiwa  kwenye kikao cha matayarisho kuelekea siku ya Pasaka ambapo jiji la Mwanza litashuhudia ujio wa mara ya kwanza wa Skylight Band, itakayoshusha burudani mbili, ya kwanza itafanyika Jumapili ya tarehe 31/03/2013 (Pasaka) ukumbi wa JB Belmount na kisha Jumatu ya Pasaka shangwe zitahamia Villa Park. 


Sehemu ya wadau wa kamati kuu ya matayarisho wakiwa kwenye meza ya kikao cha matayarisho kuelekea siku ya Pasaka wakisikiliza hoja ikiwasilishwa na Muhksin Mambo, chini ya mwenyekiti wa kikao hicho Bw. Sebastian Ndege ambapo jiji la Mwanza litashuhudia ujio wa mara ya kwanza wa Skylight Band, itakayoshusha burudani mbili, ya kwanza itafanyika Jumapili ya tarehe 31/03/2013 (Pasaka) ukumbi wa JB Belmount na kisha Jumatu ya Pasaka shangwe zitahamia Villa Park. 


Kutoka kushoto ni Meneja wa Burudani wa Villa Park Rama, mratibu wa ujio wa Skylight Band jijini Mwanza mwanadada Yvona Jackob Usungu na Justin Ndege, wakiwa  kwenye kikao cha matayarisho kuelekea siku ya Pasaka ambapo jiji la Mwanza litashuhudia ujio wa mara ya kwanza wa Skylight Band, itakayoshusha burudani mbili, ya kwanza itafanyika Jumapili ya tarehe 31/03/2013 (Pasaka) ukumbi wa JB Belmount na kisha Jumatu ya Pasaka shangwe zitahamia Villa Park. 


Sasa ilikuwa zamu ya mwanakamati Mr. Joshua kuwasilisha mawazo kikaoni. 


Kwa mara ya kwanza jiji la Mwanza litashuhudia burudani ya kipekee ya kisasa iliyokwenda skuli ambapo kwa show  itakayopigwa JB Belmount usiku wa tarehe 31, itakuwa classic ikiwa na vihusishi maalum kwa wahudhuriaji.  

Tupe maoni yako

0 comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.