ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

Friday, March 1, 2013

LOWASSA ATUA JIJINI MWANZA KUZINDUA VIKOBA KWA WAAKINA MAMA MKOANI MWANZA

Mh Waziri Mkuu mstahafu ambaye ni Mbunge wa Monduli Edward Lowasa akisalimiana na mmoja wa wawakilishi wa wazee wa Mwanza Ally Zagamba ikiwa ni sehemu ya makaribisho kwenye uwanja wa ndege wa jiji la Mwanza jana, ambapo leo anategemewa kufanya uzinduzi wa Vikoba Kanisa la Anglican Nyamanoro  pia siku ya leo inatambulika kimataifa kuwa ni Siku ya Maombezi ya Wanawake Duniani.  


Mh Waziri Mkuu mstahafu ambaye ni Mbunge wa Monduli Edward Lowasa akisalimiana na Kemylembe kwenye uwanja wa ndege wa jiji la Mwanza jana, ambapo leo anategemewa kufanya uzinduzi wa Vikoba Kanisa la Anglican Nyamanoro  pia siku ya leo inatambulika kimataifa kuwa ni Siku ya Maombezi ya Wanawake Duniani. 


Mh Waziri Mkuu mstahafu ambaye ni Mbunge wa Monduli Edward Lowasa akisalimiana kada wa CCM Bi. Flora Magabe kwenye makaribisho uwanja wa ndege wa jiji la Mwanza jana, ambapo leo anategemewa kufanya uzinduzi wa Vikoba Kanisa la Anglican Nyamanoro  pia siku ya leo inatambulika kimataifa kuwa ni Siku ya Maombezi ya Wanawake Duniani. 


Mh Waziri Mkuu mstahafu ambaye ni Mbunge wa Monduli Edward Lowasa akisalimiana na Kada namba moja wa CCM mkoani Mwanza Emmanuel Nzungu akiwa sehemu ya watu waliojitokeza kumlaki kwenye uwanja wa ndege wa jiji la Mwanza jana, ambapo leo anategemewa kufanya uzinduzi wa Vikoba Kanisa la Anglican Nyamanoro  pia siku ya leo inatambulika kimataifa kuwa ni Siku ya Maombezi ya Wanawake Duniani.


Mh Waziri Mkuu mstahafu ambaye ni Mbunge wa Monduli Edward Lowasa akisalimiana na Mama Rugaco kwenye uwanja wa ndege wa jiji la Mwanza jana, ambapo leo anategemewa kufanya uzinduzi wa Vikoba Kanisa la Anglican Nyamanoro  pia siku ya leo inatambulika kimataifa kuwa ni Siku ya Maombezi ya Wanawake Duniani.


Mh Waziri Mkuu mstahafu ambaye ni Mbunge wa Monduli Edward Lowasa akisalimiana na MNEC wa jimbola Busega Mh. Chegeni katika makaribisho ya mapokezi uwanja wa ndege wa jiji la Mwanza jana, ambapo leo anategemewa kufanya uzinduzi wa Vikoba Kanisa la Anglican Nyamanoro  pia siku ya leo inatambulika kimataifa kuwa ni Siku ya Maombezi ya Wanawake Duniani.


Mh Waziri Mkuu mstahafu ambaye ni Mbunge wa Monduli Edward Lowasa akisalimiana na mdau mwingine wa Mwanza Mr. Eddo Masama ikiwa ni sehemu ya makaribisho ya mbunge huyo kwenye uwanja wa ndege wa jiji la Mwanza jana.


Mh Waziri Mkuu mstahafu ambaye ni Mbunge wa Monduli Edward Lowasa akisalimiana na mfanyabiashara wa Mwanza Mr. Eddo Masama ikiwa ni sehemu ya makaribisho ya mbunge huyo kwenye uwanja wa ndege wa jiji la Mwanza jana.


Msafara wa viongozi mbalimbali pamoja na wananchi kutoka uwanja wa ndege Mwanza kwa mapokezi ya Mh Waziri Mkuu mstahafu ambaye ni Mbunge wa Monduli Edward Lowasa , ambapo leo anategemewa kufanya uzinduzi wa Vikoba Kanisa la Anglican Nyamanoro , ulioandaliwa na wanawake  toka madhehebu ya kikristo jiji la Mwanza, pia siku ya leo inatambulika kimataifa kuwa ni Siku ya Maombezi ya Wanawake Duniani.


Msafara wa viongozi mbalimbali pamoja na wananchi kutoka uwanja wa ndege Mwanza kwa mapokezi ya Mh Waziri Mkuu mstahafu ambaye ni Mbunge wa Monduli Edward Lowasa , ambapo leo anategemewa kufanya uzinduzi wa Vikoba Kanisa la Anglican Nyamanoro , ulioandaliwa na wanawake  toka madhehebu ya kikristo jiji la Mwanza, pia siku ya leo inatambulika kimataifa kuwa ni Siku ya Maombezi ya Wanawake Duniani.


Makaribisho zaidi, shughuli ya uzinduzi wa Vikoba  inatarajiwa kuanza rasmi saa 2:00 asubuhi na kukamilika saa 6:00 mchana katika Kanisa la Anglican Nyamanoro Ilemela jijini Mwanza.

Tupe maoni yako

0 comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.