Ni bus la Makwizi lililokuwa likitokea Nata maeneo ya wilaya ya Serengeti mkoani Mara, lenye namba za usajili T961 AGP limepata ajali mbaya leo katika eneo la Nyamongolo nje kidogo kuingia jijini Mwanza, mara baada ya kugongana na Tipa la mchanga lenye namba za usajili T 971 BYJ na kusababisha ajali hiyo iliyopelekea watu wawili kufariki dunia (wote walikuwa kwenye tipa) na abiria mmoja aliyekuwa amekaa mbele kushoto kwa dereva kwenye bus hilo, Dereva wa gari hilo amevunjika miguu yuko hoi Hospitali ya Rufaa Bugando. |
0 comments:
Post a Comment
Note: Only a member of this blog may post a comment.