Host wa kipindi cha Amplifaya akifanya mahojiano na Babu wa Loliondo Ambilikile, mpango mzima tutaupata leo (alhamisi) ambapo ile kiu ya maswali yote tuliyokuwa nayo inakwenda kupata tiba....ha-haaa ... tiba ya kikombe au...!!? Usiogope majibu ni leo, leo kuanzia saa moja usiku ndani ya Clouds fm.
Kwa sasa msikilize Babu wa Loliondo kwenye hiyo promo yake hapo chini.
KATIKA PICHA MAPOKEZI YA MWILI WA BALOZI DR KAMALA
-
Ni Simanzi kubwa mapokezi ya Mwili wa Balozi Kamala
Jeneza lenye Mwili wa mpendwa wetu
Mkuu wa Wilaya ya Bukoba Mh Erasto Siima amewaongoza wananchi katika...
0 comments:
Post a Comment
Note: Only a member of this blog may post a comment.