ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

Saturday, February 2, 2013

OBAMA AZIACHILIA PICHA ZAKE ZA SILAHA SIKU KADHAA KABLA YA MJADALA MZITO WA UMILIKI SILAHA



Obama shoots clay targets with a shotgun
Bang... Rais Obama akiwa kwenye mazoezi ya ulengaji shabaha.


BARACK Obama ameziachia picha zake zikimuonyesha akilenga shabaha kwa kutumia bunduki aina ya smoking shotgun - ikiwa ni siku kadhaa mara baada ya kuzuka kwa mjadala unaohusu umiliki silaha nchini Marekani.


The snap, which shows the US President clay pigeon shooting at his country retreat Camp David, is seen as a bid to appease critics in America's powerful gun lobby.

In a recent interview, Obama said he goes shooting "all the time" on the range in Maryland, near Washington DC.
Angels along a roadside representing the slain children from Newtown, Connecticut
Kumbukumbu... mabango ya malaika pembezoni mwa barabara yakiwakilisha habari za mauajia kwa kutumia silaha hususani kuwakinga watoto na dhahama hiyo.

Obama ametuma makundi kwa makundi ya wataalamu wake wa masuala ya ushauri ili kutia msukumo kuhusu elimu ya matumizi sahihi ya silaha, akiguswa na tukio lililotokea katika shule ya Sandy Hook school massacre, ambapo mtu mmoja mwenye silaha aitwaye Adam Lanza alipouwa watoto wapatao 20 pamoja na walimu sita.

Siku ya jumatatu kambi ya rais Obama itajikita katika mji wa Minnesota kujadili kwa kina na kutia msukumo wa kupunguza matumizi mabaya ya silaha za moto ikiwa ni mikakati mizitoya kuhakikisha kuwa nchi hiyoinapunguza mauaji kwa kutumia risasi, suala ambalo kwa sasa limekuwa sugu ndani ya jamii ya wamarekani.

Pia Rais Obama ametuma waangalizi wake wa kitaifa kufanya uchunguzi wa kina kwa chanzo cha mauaji mengi kutokea, sambamba na kulisimamia vyema zoezi la kurenyuu leseni za umiliki silaha na kuhakikisha kuwa watu wote wenye silaha wanatambulika na hakuna umiliki silaha kinyume cha sheria. Vijarida na magezetimbalimbali yenye maonyo na mafunzo vimesambazwa kwa makusudi ya kuboresha afya ya uelewa wa matumizi sahihi ya silaha.
Gun rights supporters rally in Connecticut, US
Hasira... Waungaji mkono sheria ya umilikisilaha wakiwa kwenye kusanyiko kwenye moja ya miji huko Marekani.

Obama is backing 'common sense' gun control in America
Mabadiliko (Change)... Obama is backing 'common sense' gun control in America, mwandamanaji akiwa alisimama kwa saa kadhaa mahala hapa kwa nia ya kufikisha ujumbe usemao ambapo ndani yake kuna kipande kisemacho "SILAHA HAIUWI MTU, BALI MTU HUUA MTU..."
Kisha akimalizia kwa kauli ya kushangaa inamaana   "TUMECHUKULIA POA..!!"

Tupe maoni yako

0 comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.