ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

Thursday, January 24, 2013

WASIRA AKWAMA KUSURUHISHA MGOGORO WA KUCHINJA BAINA YA WAISLAMU NA WAKRISTU


Leo kutwa nzima Wasira alikuwa akikutana na pande mbili baina ya Waislamu na Wakristu kuhusu nani mwenye haki ya Kuchinja.

Wasira alianza kwa kuzungumza na viongozi wote kicha kuzungumza na Waislamu pekee na baadaye Wakristo, lakini katika majumuisho alipowakutanisha wote alieleza kwamba msimano wa serikali waendelee kuchinja Waislamu lakini na Wakristu wachinje majumbani kwao.

Uamuzi huo umepingwa na Wakristu na kusema suala la kuchinja Waislamu nyama ya Bucha lilikuwa ni ustarabu na siyo sheria hivyo kugomea maamuzi waziri Wasira wakieleza hata wakristu wanayo haki ya kuchinza.

Sijui tunaelekea wapi, serikali imefumbia macho mgogoro huu na sasa umefikia kubaya.


MAONI YANGU NI:-

Tupe maoni yako

2 comments:

  1. Have you ever considered publishing an e-book or guest authoring on other sites?
    I have a blog based on the same topics you discuss and would love to
    have you share some stories/information. I know my audience
    would enjoy your work. If you are even remotely interested, feel free to shoot me an e-mail.
    Also see my page :: best usa casinos online

    ReplyDelete
  2. What exactly is halal meat?

    Halal essentially is meat that Muslims are allowed to eat according to Islamic law. The laws require that only certain types of meat can be eaten and that meat must be prepared in a certain way, it is also essential that halal food is not prepared with non-halal food as there is a risk of cross contamination if a chef accidentally uses the same knife to cut the different types of meat with for example.

    According to the Qur’an and Islamic law some substances are wrong for people to eat, whether by their nature or in the way in which they have been treated or butchered, so all halal meat is prepared according to strict guidelines;

    ReplyDelete

Note: Only a member of this blog may post a comment.