ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

Thursday, January 10, 2013

CHEREKO CHEREKO LA HARUSI YA PROSPER NA MARYSTELLA

Bwana harusi Prosper Makene na mkwe Marystella Munissy wakiingia katika ukumbi wa Gedeco, Geita baada ya kufunga pingu za maisha katika kanisa katoliki la mtakatifu Bikira Maria wa Fatima lililopo Geita Mkoani Geita juzi. Bwana harusi ni mfanyakazi wa gazeti la The Guardian na Bibi harusi ni mfanyabiashara.

Bwana harusi Prosper Makene akimlisha keki mkewe Marystella Munissy baada ya ya kufunga pingu za maisha katika kanisa katoliki la mtakatifu Bikira Maria wa Fatima lililopo Geita Mkoani Geita juzi. Bwana harusi ni mfanyakazi wa gazeti la The Guardian na Bibi harusi ni mfanyabiashara.

Bwana harusi Prosper Makene akiwasalimia ndugu na jamaa katika ukumbi wa Gedeco uliopo mjini Geita, Mkoani Geita baada ya kufunga pingu za maisha katika kanisa katoliki la mtakatifu Bikira Maria wa Fatima lililopo Geita Mkoani Geita juzi. Bwana harusi ni mfanyakazi wa gazeti la The Guardian na Bibi harusi ni mfanyabiashara.

Bibi harusi Marystella Munissy akipewa dhawadi ya biblia takatifu na mama mkwe wake Mary Makene baada ya kufunga ndoa na Prosper Makene katika kanisa katoliki la mtakatifu Bikira Maria wa Fatima lililopo Geita Mkoani Geita juzi. Bwana harusi ni mfanyakazi wa gazeti la The Guardian na Bibi harusi ni mfanyabiashara.


PICHA ZOTE: RENATUS MASUGULIKO

Tupe maoni yako

0 comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.