ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

Saturday, December 15, 2012

NI MATAYARISHO YA LEO KUELEKEA SHOW YA KESHO YA MTU MZIMA KOFFI OLOMIDE MWANZA

Mnyama Dugu moja na wadhamini wetu wa show ya Koffi Olomide nchini Tanzania.

Ikiwa leo mpango mzima unasanukishwa ndani ya jiji la Dar upande wa pili lazima kuhakiki ubora wa stage la Mwanza uwanja wa tukio CCM Kirumba mahala ambapo itamwagwa show ya mtu mzima Koffi Olomide hiyo kesho.

Sound injinia wa Prime times Promotion Dee akifanya 'kalukulesheni' ndani ya dimba la CCM Kirumba jioni ya leo.

Muziki, lights na vimbanga vyose....

Mzigo..mpango

Ndani ya radio washirika Passion Fm 91.0 Mwanza mtangazaji Philbert Kabago akiwa na H. Baba na Ua lake pamoja na vijana wawili 'Hatari' katika dance.

Wapo Rock City ahadi kujumuika na wakazi wa Mwanza kushuhudia makali ya kesho jumapili CCM Kirumba na Mopao'

Tupe maoni yako

0 comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.