ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

Saturday, November 10, 2012

TAMASHA LA SIMAMA KATAA UBAKAJI WA WATOTO LAFANA JIJI DAR

Naibu Katibu Mkuu Wizara Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Watoto Mheshimiwa Anna Maembe akizungumza katika tamasha la Simama Awareness, lililofanyika viwanja vya Posta Kijitonyama, Dar. Tamasha hilo lililoandaliwa na asasi isiyo ya kiserikali iitwayo Tanzania Alliance Peoples Organisation likiwa na lengo kupinga ubakaji kwa Watoto... ujumbe usemao, SIMAMA KATAA UBAKAJI WA WATOTO.

Mwakilishi wa Ustawi wa Jamii Kinondoni, Fransisca Makoye akitoa somo kwa watoto waliohudhuria tamasha hilo.

Mtoto wa shule ya msingi Hekima ya jiji Dar es Salaam akieleza machache kwa watoto wenzake, pembeni yake ni Mwakilishi wa Ustawi wa Jamii Kinondoni, Fransisca Makoye na mshereheshaji Zainab.

Watoto wakifuatilia tamasha.

Wanahabari toka kituo cha television ya TBC1, wakifanya mahojiano na watoto.

Meza kuu wakifuatilia.

Inspector Prisca Komba wa Kituo cha Polisi Osterbay  mwakilishi kutoka polisi

Walimu wa Shule ya msingi Hekima wakifuatilia kwa makini.

Nyimbo toka shule ya msingi Hekima.

Picha ya Walimu, Wanafunzi, Waandaaji pamoja na mgeni rasmi. PICHA ZOTE NA CATHBERT ANGELO- KAJUNASON BLOG.

Tupe maoni yako

0 comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.