ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

Saturday, October 6, 2012

HABARI ZA USIKU HUU NDANI YA LIDAZ CLUB

Hapo kwa  Benny Kinyaiya na Shadee.......?

Hapa ndipo shughuli itapigwa....

Mchaina wa Clouds Tv akiwa na brozee wa Club 10.

Engo....

Wakali kutoka himaya yetu wote wamemiminika hapa kwaajili ya kufanya majaribio.

Mmmmmh...!

Ni Shilole, Inspector Haroon na Baby Madaha... Chege yuleeeeee!!!

Ni Baby Madaha, Mchaina na Keysher.

Pamoja na kuwa dekoresheni za jukwaa zinaendelea viwanjani hapa vilevile sound ya mtikisiko ambayo imeongezwa nyenzo zaidi inajaribiwa hapa. 

Safu ya wahapa hapa ni Ben Kinyaiya, Dj Venture, Peter Moo na Kelvin Twissa

Ze stage usiku huu..

Bado tupo.....

Tupe maoni yako

0 comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.