ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

Friday, August 17, 2012

TBL YADHAMINI MASHINDANO YA KOMBE LA POLISI JAMII WILAYA YA ILEMELA NA NYAMAGANA MKOANI MWANZA


TBL YADHAMINI MASHINDANO YA KOMBE LA POLISI JAMII WILAYA YA ILEMELA NA NYAMAGANA MKOANI MWANZA.
Regional Crime Officer-Mwanza Joseph M. Konyo akipokea kitita cha shilingi milioni moja kutoka kwa meneja matukio wa kanda ya ziwa Erick Mwayela, ili kufanikisha mashindano ya kombe la polisi jamii wilaya ya Nyamagana mkoani Mwanza.

Afisa upelelezi Patrick Kimaro akipokea pesa taslim sh 1,000,000/= kwa niaba ya Mkuu wa Polisi wilaya ya Ilemela kutoka kwa meneja matukio wa kanda ya ziwa  Erick Mwayela kwa ajili ya mashindano ya Polisi jamii ya wilaya ya Ilemela Mwanza. 

Tupe maoni yako

0 comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.