Mh. Lawrance Masha akichukuwa fomu kugombea nafasi ya U-NEC Wilaya ya Nyamagana kwa Katibu wa CCM Wilaya ya Nyamagana Deogratius Lutta tukio hilo limefanyika leo katika ofisi za CCM Nyamagana jijini Mwanza.
Mh. Lawrance Masha akisaini kwenye daftari la waliochukuwa fomu kugombea nafasi ya U-NEC kupitia Wilaya ya Nyamagana mbele ya Katibu wa CCM Wilaya ya Nyamagana Deogratius Lutta (aliyeshika kichwa) sambamba na wadau wengine walio msindikiza kukamilisha zoezi hilo.
Mchakato wa kugombea nafsi ya U-NEC wilaya ya Nyamagana ni pamoja na Bw. Emmanuel Masalu Ngofilo, Mwenyekiti wa CCM Kata ya Mahina Bw. James Bwire, Bw. Bakari Kimwaga, Afisa Uhusiano wa MWAUWASA Bw. Robert Maswanya na Othman Ally. Wengine ni Faraj S Faraj, Moric Deya, James Joseph Nyamasiriri na Lawrance Masha aliyechukuwa leo.
Mh. Lawrance Masha
Sikiliza hapa wakati akizungumza na waandishi wa habari. (Bofya Play)
PURA yapongezwa usimamizi wa miradi ya CSR
-
Na Mwandishi Wetu
Diwani wa Kata ya Songo Songo, Mkoani Lindi, Mhe. Hassan Swalehe Yusuph
ameipongeza Mamlaka ya Udhibiti Mkondo wa Juu wa Petroli (PURA) ...
DKT. NCHEMBA AONGOZA MKUTANO WA WB KANDA YA AFRIKA
-
Waziri wa Fedha, Mhe. Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba (Mb), akitoa wito kwa
taasisi za fedha za kimataifa kuongeza fedha kwaajili ya kuzisaidia nchi za
kipa...
KATIKA PICHA MAPOKEZI YA MWILI WA BALOZI DR KAMALA
-
Ni Simanzi kubwa mapokezi ya Mwili wa Balozi Kamala
Jeneza lenye Mwili wa mpendwa wetu
Mkuu wa Wilaya ya Bukoba Mh Erasto Siima amewaongoza wananchi katika...
0 comments:
Post a Comment
Note: Only a member of this blog may post a comment.