ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

ZIMA KILA KITU ILA WASHA JEMBE FM 93.7 MWANZA

Friday, July 27, 2012

WABUNGE MLIKUWA WAPI KUTETEA MASLAHI YA WAFANYAKAZI WAKATI HOJA IKIPITISHWA?


MABADIKO ya Sheria ya Hifadhi za Mifuko ya Jamii ya mwaka 2012, iliyopitishwa Aprili mwaka huu, imeendelea kuzua mtafaruku sehemu mbalimbali nchini, huku wabunge wakishinikiza kuwa, sheria hiyo inapaswa kurejeshwa bungeni ili ijadiliwe upya.

Hata hivyo, Mbunge wa Mwibara (CCM), Kangi Lugola alitofautiana na wenzake pale aliposema kuwa sheria inayolalamikiwa ilishapitishwa na Bunge hilo hilo, hivyo angependa kujua uhalali wa kujadiliwa tena bungeni.

Hapo ndipo twapaswa kujadili umakini wa wawakilishi wetu tuliowachagua kutuwakilisha mjengoni... yaani kwa hili lenye kugusa maslahi ya wengi kupitishwa kirahisi rahisi ... duh

Bofya hapa kusikiliza.

Tupe maoni yako

0 comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.